• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WA MAKAO MAKUU ARUSHA DC WAFANYA USAFI, MAENEO YANAYOZUNGUKA OFISI ZAO

Posted on: February 11th, 2022

Na. Elinipa Lupembe.

Watumishi wa makao makuu halmashauri ya Arusha, wameendelea kutekeleza agizo la mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhandisi Richard Ruyango, la kufanya usafi katika maeneo ya ofisi zote za serikalia, kila siku ya Alhamisi ya wiki.

Watumishi hao, kwa umoja wao wamefanya usafi katika maeneo yote yanayozunguka ofisi za halmashauri hiyo, wakiwa na mafagio, mafyekeo, majembe na mazoleo taka, huku wakihakikisha maeneo yote yanakuwa safi kwa afya zao.

Hata hivyo watumishi hao, wapongeza hatua hiyo ya kupata walau saa moja ya kufanya usafi kwa wiki, wakithibitisha kuwa usafi wa maeneo ni jukumu la kila mtu anayeishi na kufanyia shughuli eneo husika.Aidha wameitaka jamii kutambua kuwa, kufanya usafi katika maeneo wanayoishi ama maeneo wanayofanyia shughuli zao za kila siku, uwe na duka, genge, ofisi, hoteli n.k, ni jukumu lako kufanya usafi maeneo yanayoku, na sio jukumu la serikali kama watu wanavyodhani.

"Kila mtu anawajibu wa kufanya usafi katika eneo analoishi ama analofanyia shughuli ndani na mazingira ya nje yanayozunguka eneo lake, watu waache kuilalamikia serikali kiwa maeneo ni machafu, bali wafanye usafi kwa afya zao" wamesema watumishi hao.

Awali serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais, inawataka wananchi wote kufanya usafi na kuweka mazingira safi kila wakati, ili kuwa na hewa safi na kupambana na magonjwa yanayotokana na uchafu.

ARUSHA DC 

KaziInaendelea✍✍










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.