• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KIZALENDO NA KWA KUJITUMA

Posted on: April 28th, 2025

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KIZALENDO NA KWA KUJITUMA.


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mhe.Amir Mohammed Mkalipa amewataka watumishi wa umma Wilayani Arumeru kufanyakazi kwa moyo wa kizalendo nyakati zote za utumishi wao ili kuwa kielelezo kwa vizazi vijavyo.

Mkalipa amesema hayo wakati wa sherehe mahafali ya 8 ya kidato cha sita ikiwa sambamba na sherehe ya kumuaga rasmi Mkuu wa Shule hiyo Ndg.John Massawe aliyehudumu shuleni hapo Kwa Miaka 21.

Akizungumzia suala la uzalendo,,mhe.Mkalipa amesema kuwa Mwl.Masawe amekuwa kielelezo cha utumishi uliotukuka kwani shule hiyo imekuwa mara kwa mara ikifanya vizuri katika ufaulu wa Kitaifa chini ya usimamizi wa Mkuu huyo wa Shule mstaafu kwani wanafunzi wamekuwa wakipata ufaulu wa madaraja ya juu, huku akimtaka Mkuu wa shule mpya pamoja na wanafunzi kuendeleza juhudi ili kulinda hadhi ya shule hiyo.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Shule Bi Nai Molle ameongeza kwa kusema kuwa mkuu huyo wa shule Mwl.John Massawe ni mfano wa kuigwa na Kiongozi wa kipekee ambae amemudu kufanya kazu katika mazingira magumu na ambayo ameweza kuyabadilisha na sasa ni kivutio na shule ya mfano Kitaifa.

Ameongeza kusema kuwa walimu wa shule ya sekondari Mwandet, wanajuhudi kubwa katika kuwafundisha watoto, na matokeo ya juhudi hizo yanaonekana wazi jambo ambalo limetugusa wazazi wote, na kufanya maamuzi ya kumnunulia gari Mkuu wa Shule John Massawe ikiwa ni shukrani kwa kazi nzuri aliyofanya Kwa Miaka 21 ya Utumishi wake.


"Shule ya Mwandeti ni kubwa, ina walimu wengi, haina nyumba za kutosha kuishi walimu wote hapo shuleni, lakini pia eneo hili halina nyumba za kupangisha, hivyo asilimia kubwa ya walimu hulazimika kuishi Ngaramtoni, huku kukiwa hakuna usafiri wa kuaminika kufika shuleni, walimu wanateseka sana, wazazi tumeamua kuwaondolea adha hiyo wakati wakiwahudumia watoto wetu" amesisitiza Mwenyekiti huyo.

Aidha amefafanua kuwa Mkuu wa Shule John Massawe alihamasiaha ununuzi wa gari aina ya coaster ambao, umegharimu kiasi cha shilingi milioni 48, fedha zilizopatikana kwa kila wazazi kuchanga kiasi cha shilingi elfu thelathini, jambo ambalo limefanyika kwa muda wa miezi miwili baada ya makubaliano ya kikao cha wazazi.

Matangazo

  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA TATU 2O21/2022 tarehe 09.05.2022 May 08, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA ARUSHA DC,BW.SELEMAN MSUMI AKIWA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI HIYO KATIKA MASDHIMISHO YA MEI MOSI KIMKOA ARUSHA

    May 02, 2025
  • HERI YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • HERI YA SIKU YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • MHE. MAJALIWA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.