• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAWESHAJI 40 ARUSHA DC WAPATA MAFUNZO YA KUWEZESHA KAYA MASIKINI KUJIUNGA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA....

Posted on: March 9th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Wawezeshaji 40 ngazi ya wilaya, wamepatiwa mafunzo kwa ajili ya kwenda kufundisha kaya zilizo kwenye Mpango wa Kunusuru Umasikini, mradi unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii ( TASAF IV), kuunda vikundi vya kujiwekea akiba.


Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ya siku tano, Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Arusha, Elizabeth Ngobei, amewataka watalamu hao, kutumia maarifa watakayopata kuwezesha jamii kujiunga kwenye vikundi ili kujiinua kijamii na kijamii.


Amewataka watalamu hao kutumia fursa hiyo kuwezesha wanakaya kujiunga kwenye vikundi pamoja na kuhakikisha vikundi hivyo vinatekekeza majumu yao kulingana na mpango taratibu zilizowekwa na TASAF.


"Mnalo jukumu kubwa la kuhakikisha wanakaya hasa kina baba kutambua umuhimu wa kujiunga kwenye vikundi vya huduma ndogo za fedha, na si kuwaachia wa wanawake peke yao, jambo ambalo linaleta mogogoro kwenye kaya, kina baba wanatakiwa kufahamu pesa za TASAF ni la kaya nzima".Amesisitiza Kaimu Mkurugenzi


Hata hivyo Mratibu wa huduma za Vikundi  TASAF Makao Makuu, Ester Kivuyo,  amesema kuwa lengo mafunzonhayo ni kuzijengea uwezo kaya za walengwa kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba na kutumia akiba hizo katika kukopeshana katika vikundi ili kuendeleza miradi ya kiuchumi ili kujionhezea kipato cha kaya.


Hata hivyo Mratibu wa TASAF, Halmashauri ya Arusha, Grace Makema, amesema kuwa lengo la mafunzo kwa watalamu hao ni kuwajengewa uwezo watalamu watakao kwenda kuzifundisha kaya ngazi ya kijiji.


Amafafanua kiwa mambo muhimu yatakayofanywa na wawezshaji hao ni kuwafundisha wanakaya, uanzishwaji na usajili wa vikundi, uongozi wa vikundi, uandaaji wa katiba, elimu mwendo kwa vikundi, kuweka akiba na kuwekeza pamoja na  usimamizi wa mikopo, utunzaji wa kumbukumbu na urejeshaji wa mikopo.


Awali zoezi hili la mafunzo ngazi linategemea kufanyika kwenye halmashauri 13 za mikoa ya Arusha na Njombe huku halmashauri ya Arusha ikiwa miongoni mwake.


"ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

#kaziinaendelea✍

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC ARUMERU ATEMBELEA MAENEO YALIYOPATA MADHARA YA MVUA ARUSHA DC..

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAY ARUSHA DCA DC

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAT ARUSHA DC

    March 24, 2023
  • DC ARUMERU AFANIKISHA MCHANGO WA MAZIWA YA MTOTO KWA KAYA ILIYOBOMOKEWA NYUMBA OLMOTONY

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

MFUGAJI AKIELEZEA FAIDA ZA UHIMILISHAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA - BANDA LA MIFUGO ARUSHA DC
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.