• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZAZI ARUSHA DC WAIPONGEZA SERIKALI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO

Posted on: September 1st, 2022

Na Elinipa Lupembe

Wakazi wa halmashauri ya Arusha wameipongeza serikali ya awamu ya sita, kwa kurahisisha upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa chini ya miaka mitano, kwa kusogezewa huduma hiyo karibu, jambo ambalo limewezesha watoto kupata vyeti vya kuzaliwa kwa sasa tofauti na hapo awali.

Upendo Mathayo (27) mama wa watoto watatu, mkazi wa Kisongo, amethibitisha kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto wake wa mwisho aliyemtaja kwa jina la Isack Elias mwenye mwezi mmoja sasa, na kuongeza kuwa utaratibu huo ni mzuri umewarahisishia watoto wao kupata vyeti hivyo, vyeti ambavyo hata yeye na watoto wake wake wakubwa mpaka leo hawajavipata.

Nilijifungua mtoto wangu kwenye kituo cha Kivulini ' Martenity Africa' na kusajiliwa baada ya wiki moja nilirudi na kupatiwa cheti cha mtoto cha kuzaliwa, mtoto wangu ana mwezi mmoja lakini ameshapata cheti, sikuamini kwa kuwa mika ya nilitafuta cheti changu cha kuaziliwa sikukipata". Amesema  Upendo

Neema Emanuel (29) mkazi wa Oldonyosapuk, amethibitisha kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto Jovine Timoth (6)  kupitia ofisi ya Mtendaji wa kata wakati wa kampeni ya mwaka uliopita, na kuipongeza serikali kwa utaratibu huo mzuri na rahisi unawawezesha hata watu wanaoishi vijiji kuoata huduma hiyo ndani ya maeneo yao wanayoishi.

Naye Afisa Utawi wa Jamii, halmashauri ya Arusha, Beatrice Tengi amethibitisha urahisi wa upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa huku jumla ya watoto 51,751 katika  halmashauri hiyo sawa na 85.4 % wamesajiliwa na kupatiwa vyeti, kutoka makisio ya watoto 58,549 waliotarajiwa kuandikishwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022, zoezi ambalo linafanyika kwenye vituo vyote vya kutolea huduma za afya pamoja na ofisi za kata.

Afisa Utawi huyo amefafanua kuwa, baada ya  RITA kugatua madaraka kwa vituo vya afya, kumekuwa na urahisi wa upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa huku wazazi na walezi wakiwa na muitikio chanya wa kusajili watoto ili wapate vyeti vya kutokana na Serikali kurahisisha taratibu za usajili kwa kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi.

"Kwa sasa serikali imewarahisishia wazazi na walezi, kusajili na kuchukua vyeti vya watoto wao, huduma hii inapatikana kwenye vituo vya afya, mara baada ya mama kujifungua, humsajili mtoto kupitia kadi yake ya kliniki na kupata cheti cha kuzaliwa kwa wakati" Amefafanua Beatrice

Serikali kupitia Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini  (RITA) iligatua madaraka kwa halmashauri kupitia kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na ofisi za kata lengo likiwa ni kuhakikisha kila mtoto anayezaliwa Tanzania anapata cheti cha kuzaliwa kwenye kituo cha afya alichozaliwa kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano.


ARUSHA DC

TUPO KAZINI✍✍



Muuguzi Mfawidhi hospitali ya Wilaya ya Olturumet Dorice Kahwa akimsajili mtoto kwa ajili ya kupata cheti cha kuzaliwa mara baada ya mama huyo kujifungua hospitalini hapo.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.