• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZAZI NA WALIMU WATAKIWA KUWALEA WATOTO MAKUZI YA KUPENDA MITI ILI KUTUNZA MAZINGIRA 

Posted on: April 13th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Wazazi na walimu wametakiwa kutumia muda wa makuzi ya watoto,  kuwafundisha kupenda miti ili kuwajengea tabia ya kutunza mazingira, urithi ambao na wa thamani kubwa kwa maisha ya wanadamu na viumbe vyake.

Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa halmashauri ya Arusha Mhe. Ojung'u Salekwa, wakati akiwashukuru wananchi wa kijiji cha Shiboro kata ya Sambasha waliojitokeza  kupanda  miti kwenye eneo la shule mpya ya msingi Shiboro.

Mwenyekiti Ojung'u, ametumia nafasi hiyo, kuzungumza na wanafunzi, na kuwasisitiza kila mmoja kupanda mti nyumbani na shuleni na kuinadika majina yao, alama ambayo haitafutika maishani mwao.

"Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, wazazi na walimu tunalo jukumu kubwa la kuhakikisha tunawafundisha watoto wetu tabia ya kupenda miti kwa kupanda na kuitunza, jambo ambalo ni urithi wenye thamani kubwa katika maisha yao na vizazi vijavyo". Amesisitiza Mwenyekiti Ojung'u

Aidha amesistiza kuwa, serikali imetekeleza jukumu lake la kuwaletea miti, kazi kubwa iliyobaki kwa wananchi ni kuitunza na kuhakikisha miti yote inakuwa kwa idadi yake na kuwashauri kuweka vibao kwenye maeneo ya Umma vya kuzuia mifugo kuingia, pamoja na kutoza faini pindi mfugo utakapokula mti.

Hata hivyo Diwani wa Kata ya Sambasha Mhe. Mosses ameahidi kushirikiana na viongozi wa vijiji, kusimamia ukuaji wa miti hiyo na kuhakikisha miti yote inakuwa kama ilivyopandwa kwa kuwa hali ya hewa ni rafiki kwa miti.

"Nakuahidi mwenyekiti, miti yote itakuwa kama ilivyopandwa, miti ilikuwa ni hitaji letu kubwa, tumejipanga na serikali za vijiji kusimamia na kutoa taarifa ya upandaji miti kila kikao cha robo ya mwaka". Amesema Mhe. Diwani

Lea Alex mwanafunzi wa darasa la 6 shule ya Msingi Timbolo, amekiri kupenda miti kutokana na faida zake ambazo amefundishwa darasani pamoja na hamasa zinazotolewa na Serikali na wadau wa mazingira.

"Nitapanda miti, shuleni na nyumbani pamoja na kuitunza ili ikie". Amesema Lina


Mti wangu, Taifa langu, Mazingira yangu, KaziIendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.