• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

*Yaliyojiri kwenye maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika 18.06.2019, Arusha DC*

Posted on: June 18th, 2019

#Watoto ni rasilimali muhimu sana inayoweza kufananishwa na madini ya dhahabu au petroli, ni jukumu la taifa kuiandaa vyema raslimali hiyo muhimu kwa uhai wa Taifa endelevu.

#Taifa lenye misingi imara, huwekeza kwa watoto kwa kuwatunza, kuwajali na kuwaendeleza kwa kupiga vita kwa vitendo, ukatili dhidi yao.

#Ni jukumu letu sote kuwapa watoto haki zao za msingi, na kutambua kuwa, kuwapa watoto haki zao sio hisani wala upendeleo bali ni majukumu ya lazima kwa wazazi,walezi na jamii kwa ujumla.
 
#Halmashauri imeunda mabaraza ya watoto kuanzia ngazi ya kata na halmashauri, kwa lengo la kuhakikisha watoto wanakutana na  na kujadili changamoto zinazowakabili na  kuzitolea taarifa, ikiwa ni pamoja na kupaza za kupiga vita ukatili dhidi yao.

#Halmashauri pia inatumia Timu ya wanawake, MTAKUA, kuwezesha malezi na usimamizi imara kwa watoto ili kuwaanda kuwa na taifa imara kuelekea uchumi wa viwanda.

#Halmashauri inashirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo, wanaojihusisha na masuala ya watoto kwa kuwajengea watoto uwezo na kuwapa maarifa juu ya haki, ulinzi na usalama wao na jinsi ya kujikinga dhidi ya ukatili, unaendelea kwenye jamii yao.

#Kuhamasisha jamii hususani wanawake katika uanzishaji wa Viwanda vidogo na vya kati ili waweze kujiinua kiuchumi na kuwasaidia watoto kupata mahitaji yao ya msingi.

#Mtoto ni Msingi wa Taifa Endekevu, Tumtunze, Tumlinde na Kumuendeleza#




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.