• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

*YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA KUWASILISHA TAARIFA ZA KATA ROBO YA PILI, OKTOBA MPAKA DISEMBA 2018*

Posted on: February 15th, 2019

Na. Elinipa Lupembe.

# Wananchi wa kata ya Musa bado wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama, lakini tayari halmashauri imeshasaini mkataba na Mkandarasi wa kampuni ya  Winning Spirit Construction, kwa ajili ya kuanza kutekeleza mradi wa maji Likamba kwa awamu ya pili kwa gharama ya shilingi bilion 1.8, moja ya mradi wa maji wa vijiji kumi ya mwaka 2012, mradi huo ukikamilika utahusisha kijiji cha Likamba na vitongoji vyake.

# Wananchi wote wametakiwa kuwatunza mbwa wao, ikiwemo kuwapa chakula na kuwafungia, pamoja na kuwapatia chanjo hasa za kichaa cha mbwa, pamoja na kuwa na mkakati wa kupunguza idadi ya mbwa wafugwao, ili kupunguza idadi kubwa ya mbwa wanaozurura.

# Wamepongeza juhudi na mafanikio ya halmashauri kwa kusajili shule mbili mpya za sekondari kwa kipindi cha robo ya pili, ikiwa ni shule ya sekondari Losikito kwa usajili namba  S. 5110, na shule ya Sekondari Oldonyowas kwa namba  S. 5111. Huku jumla ya  wanafunzi 327 walipangiwa kuanza kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2019, mpaka sasa jumla ya wanafunzi  283, wameripoti na  wameshanza masomo yao katika shule hizo.

#Mafisa Watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha mikutano ya kisheria ya vijiji,  inafanyika kila robo ya mwaka, yaani kila baada ya miezi mitatu, endapo Mwenyekiti wa kijiji hataitisha mikutano hiyo mara tatu mfululuzizo, sheria inaruhusu kumuondoa kwenye nafasi yake, utaratibu ufanyike kwa ajili ya kuwaondoa wenyeviti wa vijiji wasioitisha mikutano ya kisheria katika vijiji vyao.

# Madiwani wameiomba Serikali kuunga mkono, juhudi za wananchi ambao wannanzisha  Miradi ya maendeleo katika maeneo yao, kwa kuongezea kiasi cha fedha ili kukamilisha miradi hiyo, hali ambayo itawatia moyo wananchi hao kuendelea kuchangia miradi katika maeneo yao.

# Kumekuwa na changamoto ya baadhi ya vijiji kutokufikiwa na umeme wa REA  huku baadhi ya maeneo yakiishia kuwekwa nguzo, hivyo Wameutaka uongozi wa Mpango wa umeme vijiji - REA  kualikwa kuhudhuria kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani la tarehe 18.02.2019 ili kuweza kutoa ufafanuzi juu ya changamoto hiyo kwa wawakilishi hao wa wananchi.

#Wamekubaliana madiwani kuendelea kushirikiana na wananchi pamoja na watalamu wa ngazi ya kata na halmashauri, kutatua baadhi y a changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wao, changamoto nyingi zinawezekana kutatulika ndani ya maeneo yao.

# Wazazi wametakiwa kuona umuhimu wa watoto kupata chakula cha mchana wawapo shuleni na kuwataka kushiriki kuchangia upatikanaji wa chakula bila kuona suala hilo ni adhabu bali ni jukumu lao.


PICHA ZA MATUKIO WAKATI WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

Makamu Mwenyekiti, halmashauri ya Arusha na Diwani wa kata ya Oloirien, Mhe. Albert Oltereu  akiwasilisha taarifa za kata ya Oloirien

Diwani wa kata ya Olmotony, Mhe. John Slim akiwasilisha taarifa za kata ya Olmotony.

Diwani wa kata ya Mateves Mhe. Juliu Mollel akiwasilisha taarifa za kata ya Mateves.

Diwani wa kata ya Olkokola Mhe. Kalanga Laiza akiwasilisha taarifa za kata ya Olkokola.

Diwani wa kata ya Musa, Mhe. Florah Zelote akiwasilisha taarifa za kata ya Musa.

Diwani wa kata ya Ilkiding'a Mhe. Loth Mungaya akiwasilisha taarifa za kata ya Ilkiding'a.


Diwani viti Maalum, Mhe. Nuru Ndosi akiwasilisha taarifa za kata ya Kiranyi.


Diwani wa kata ya Nduruma, Mhe. Raymond Mollel akiwasilisha taarifa za kata ya Nduruma.

Diwani wa kata ya Olturoto, mhe. Baraka Simon akiwasilisha taarifa za kata ya Olturoto.

Diwani wa kata ya Kimnyaki, Mhe. Olais Wavii akiwasilisha taarifa za kata ya Kimnyaki.

Diwani wa kata ya Tarakwa, Mhe. Elihuruma Laizer akiwasilisha taarifa za kata ya Tarakwa.


Diwani Viti Maalum, Mhe. Happiness Laizer  akiwasili taarifa za kata ya Bangata.

Diwani wa kata ya Kiutu, mhe. Zephania Sirikwa akiwasilisha taarifa za kata ya Kiutu.


Diwani wa kata ya Lemanyata, Mhe. Losieku Kilusu akiwasilisha taarifa za kata ya Lemanyata.


Diwani wa kata ya Oldonyowas mhe. Elisante Nassari akiwasilisha taarifa za kata ya Oldonyowas.

Diwani wa kata ya Oljoro, mhe. Sanari Mepalari akiwasilisha taarifa ya kata ya Oljoro.

Diwani wa kata ya Laroi, Mhe. Ojung Salekwa akiwasilisha taarifa ya kata ya Laroi



Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakifuatilia mijalada kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani wa kuwasilisha taarifa za kata kwa kipindi cha mwezi Oktoba mpaka Disemba 2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.