• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Yaliyojiri kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani wa robo ya mwisho kwa mwaka wa fedha 2017/2018

Posted on: August 10th, 2018

#  Halmashauri ya Wilaya ya Arusha imepokea wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 baada ya kuidhinishwa,  kiasi cha shilingi Bilioni 45.4 na Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania katika Mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha mrejesho 2018/19 .

# Idara ya Ardhi iweke vibao kwenye maeneo yote ya mipaka ya halmashauri ya wilaya ya Arusha na halmashauri nyingine,  kwa kuanza na maeneo yenye migogoro kwanza.

# Watumishi wote wanaoishi nyumba 519 wapewe masharti na taratibu za kuishi katika nyumba hizo ikiwemo jukumu la kutunza nyumba pamoja na taratibu za kuamua kufanya ukarabati katika nyumba hizo.

# Baraza limekubaliana kubadilisha matumizi ya fedha kiasi cha  shilingi milioni  150 kilichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa OPD kwenye hospitali ya wilaya ya Olturumet na kuoneka fedha hizo azitoshi kukamilisha jengo hilo la ghorofa, fedha hizo, zitumike kujenga jengo la mama na mtoto katika hospitali hiyo ambalo litakamilika kwa kiasi hicho cha fedha. Hivyo mchakato wa kubadilisha matumizi ya fedha hizo uanze ili fedha mara moja.

# Meneja wa TARURA kubainisha mtandao wa barabara zote, zinazohudumiwa na TARURA na zile zinazohudumiwa na Halmashauri.

# Diwani wa kata ya Oloirien mhe. Albart Oltetelu amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani kwa kipindi cha mwaka mmoja 2018/19.

# Watumishi wote wanaoishi nyumba 519 wapewe masharti na taratibu za kuishi katika nyumba hizo ikiwemo jukumu la kutunza nyumba pamoja na taratibu za kuamua kufanya ukarabati katika nyumba hizo.



Picha za matukio ya mkutano wa Baraza la Madiwani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.