• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

*YALIYOJIRI ZIARA YA KATIBU MWENEZI CCM TAIFA - ARUSHA DC

Posted on: February 14th, 2019

Na Elinipa Lupembe.

# Katibu Mwenezi chama cha Mapinduzi CCM comredi Hamphray Polepole amefanya ziara ya siku moja na kutembelea miradi mitatu katika kata ya olturumet, Oldonyowas na Ilkiding'a, halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru.

# Katika ziara hiyo, Katibu Mwenezi huyo, ameridhishwa na utekelezaji wa shughuli za maendeleo zinazotekelezwa katika hsmashauri ya Arusha hasa katika utekelezaji wa miradi ya Maenfeleo kisekta.

#Amewapongeza wananchi wa Halmashauri ya Arusha hususani,  wananchi wa Kijiji cha Oldonyowas kata ya Oldonyowas kwa kushiriki kuchangia uanzishwaji wa shule mpya ya Sekondari Oldonyowas kwa wananchinhao kujenga vyumba viwili vya madarasa kwa kushirikiana na ANAPA, ujenzi wa vyoo vya walimu na wanafunzi pamoja na ujenzi wa maabara za masomonya Kemia na Biolojia.

#Ameahidi serikali kuanza kutengeneza barabara ya kuingia  katika hospital ya Wilaya ya Olturumet kuanzia eneo la Habari Maalumu kwenye barabara ya Arusha Namanga. Ameahidi kuanza kutengeneza barabara hiyo kwa kiwango cha changarawe na baadaye kiwango cha lami.

#Amekabidhi gari la wagonjwa wa dharura Ambulance hospitali ya wilaya ya Olturumet na kufutia kodi ya kuingiza gari hilo, gari ambalo lilitolewa msaada na kundi la Friends of German la nchini Ujerumani.Magari ambayo yalizuiliwa kwa kudaiwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, huku taratibu za kufuta kodi hizo ukifuatwa.

#Ametoa zawadi ya jozi mbili za jezi za wachezaji wa mpira wa miguu kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza, waliojiunga kwenye shule mpya,  ya sekondari Oldonyowas kwa lengo la kuanzisha timu ya mpira wa miguu katika shule hiyo.

#Amefafanua umuhimu wa ziara hiyo kichama, ni kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi, Ilanibambayo iliwapa nafasi kupata dhamana ya kuongoza nchi kwa kipindibcha miaka mitano.

#Amewataka wananchi kutambua na kutofautisha siasa na kazi na kufahamu kuwa, ziara ya chama tawala kilichoko madarakani, inalengo la kuhakikisha kile ilichowaahidi wananchi ndio kinatekelezwa na si mikutano  ya kujenga chama, kama inavyotafsiriwa.

#Amesisitiza kuwa serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Dkt. John Pombe Magufuli inaendesha siasa za maendeleo za kuwahudumia wananchibkwa vitendo kwa kufikisha huduma za jamii hasa kwa wananchi waishio vijijini.

#Katika ziara hiyo, Katibu Mwenezi huyo aliambatana na wajumbe wa kamati ya siasa ya CCM mkoa wa Arusha, wilaya ya Arumeru na viongozi mbalimbali wa chama kuanzia ngazi ya mtaa, kijiji, kata, wilaya, mkoa na  taifa.










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.