• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

YALOJIRI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI 11.08.2022..

Posted on: August 12th, 2022

Na Elinipa Lupembe

# Waheshimiwa madiwani wameiomba Serikali Kuu kushirikiana na halmashauri kupanga upya utaratibu  wa kugawa shamba la Tanzania Plantations kwa kuzingatia maslahi mapana ya halmashauri na wananchi wake, kutokana na kutoridhishwa na  utaratibu uliowasilishwa na Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa kupanga matumizi ya shamba hilo, mara baada ya kuwasilishwa taarifa ya Wizara ya Ardhi ya kupanga matumizi ya ardhi katika shamba hilo.


#Wamempongeza  Mkururugenzi Mtendaji na timu ya watalamu kwa kufikia 95% ya ukusanyaji wa mapato hadi tarehe 30 Juni 2022 jambo ambalo halijawahi kutokea, na kwasisitiza kuongeza tija katika ukusanyaji wa mapato na usimamia thabiti na kufikia 100% kama ilivyo kwa halmashauri nyingine.


# Waheshimiwa Madiwani, wametakiwa kushirikiana na watalamu kubuni vyanzo vya mapato pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato kwa vyanzo vilivyo kwenye maeneo yao, kwa pamoja halmashauri itaimarika kimapato.


#Waheshimiwa Madiwani kuendelea kuhamasisha wananchi katika maeneo yao, kushiriki Sensa ya watu na makazi, itakayofanyika tarehe 23.08.2022 ili zoezi hilo lifanyike kwa ufanisi na kuhakikisha watu wote waliolala kwenye kata zao wamehesabiwa.


# Kuendelea kusimamia utekelazaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenya vijiji na kata na kuhakikisha miradi hiyo imekamilika kwa wakati na kuhakikisha viwango vya ubora unaozingatia thamani ya pesa zilizotumika.


ARUSHA DC TUPO TAYARI KUHESABIWA

SHIRIKI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022

JIANDAE KUHESABIWA 23.08.2022




PICHA ZA MATUKIO MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.