• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI NA WATAALAMU WA ARUSHA DC JIJINI DODOMA

Posted on: December 20th, 2024

Madiwani wa Halmashauri ya Arusha wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Dkt.Ojung'u Salekwa wameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa uwekezaji mkubwa wa miradi mbalimbali ambayo ni chanzo kikubwa cha mapato kwa Jiji hilo

Wakiwa katika ziara ya mafunzo Jiji hapo, Madiwani hao leo tarehe 20/12/2024 wamepata fursa ya kutembelea miradi inayotekelezwa na Jiji hilo ikiwemo Hotel na ukumbi wa mikutano unaweza kuketisha watu 1000 kwa wakati mmoja uliopo Mji wa Serikali Mtumba, soko la kisasa la Job Ndugai, Stendi ya Kisasa ya Mabasi ya abiria, mradi wa maegesho ya malori ta mizigo eneo la Nala pamoja na


Pamoja na pongezi hizo,Madiwani hao wamehaidi kwenda kutekeleza miradi ya Kimkakati waliyokwisha ibuni ikiwepo ujenzi wa Hoteli kubwa yenye hadhi ya nyota 5 ambapo michoro yake imekwisha kamilika ikizingatiwa kuwa Arusha ni Mkoa wa Utalii na Mikutano ya Kimataifa.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Oltroto, Mhe.Baraka Mesiaki amesema ni wakati sasa Arusha iwe na Miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo ujenzi wa mradi wa stendi kubwa ya Mkoa ya Kisasa,Masoko malubwa katika maeneo ya miji ya Ngaramtoni, maegesho makubwa ya malori kwenye barabara ya Arusha kwenda Namanga katika Kata ya Oldonyowasi ambapo kuna maeneo makubwa ya wazi.

" Nadhani ifike mahali tufanye maamuzi magumu kama yaliyofanya na Serikali Kuu ya kuhamia Dodoma, haikuwa rahisi kuhamishia Wizara zote kwa mara moja kutoka Dar Es salaam kuja Dodoma, leo tumeona mji wa Serikali Mtumba ulivyopendeza,hivyo nasi Arusha DC lazima tukatengeneze historia,hatuna muda wa kupoteza tena wacha tufanye mambo kwa maslahi ya wananchi wetu" alisema Mhe.Baraka

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.