Posted on: May 15th, 2017
Watu wanne wa familia moja kati ya watano waliofariki baada ya nyumba waliokua wamelala kuangukiwa na mti katika kijiji cha Ng'iresi kata ya Sokon II wamezikwa kijijini kwao Ng'iresi. ...
Posted on: May 12th, 2017
Wafugaji wa ng'ombe wa maziwa wa kata ya Kiutu halmashauri ya Arusha wamepatiwa mafunzo ya namna ya kuboresha koo za ng'ombe kwa njia ya uhawilishaji.
Mafunzo hayo yameandaliwa na Idara ya Mifugo n...
Posted on: May 4th, 2017
Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2016/2017 umefanyika leo tarehe 04.05.2017...