Posted on: November 15th, 2017
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Arusha Dk. Wilson Mahera amekutana na wadau wa shirika la Water Mission na kufanya mazungumzo Ofisini kwake leo asubuhi, wadau hao wameonesha nia ya kushirikia...
Posted on: November 13th, 2017
Jumla ya Wanafunzi 6,506 wa kidato cha pili katika shule 49 za sekondari halmashauri ya Arusha wameanza leo mitihani ya taifa mwaka 2017.
Afisa Vifaa na Takwimu Halmashauri ya Arusha mwalimu Philip...
Posted on: November 8th, 2017
Wananchi wa kata ya Musa wametakiwa kuwafichua watu wanaofanya vitendo vya ukatili kwa watoto kwa kutoa taarifa kwenye kituo maalumu cha kutolea taarifa cha Ace Africa Resources Center kilichojengwa k...