Posted on: May 11th, 2023
Na Elinipa Lupembe
Wajumbe wa baraza la madiwani halmashauri ya Arusha, wameiomba serikali kufanya ukarabati wa dharura kwenye barabara zilizoharibika kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kat...
Posted on: May 10th, 2023
Na Elinipa Lupembe
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John Mongela, amezindua mradi wa mashamba darasa matano ya ufugaji wa kuku kwa vikundi vya wanawake wajasiriamali kwa vijiji vitano vya halmasahuri ya...
Posted on: May 9th, 2023
Na. Elinipa Lupembe.
Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, amekabidhi jumla ya tani 4.4 za mahindi na Kilo 290 za maharage kwa kaya 323 ziliathirika zaidi kutokana...