Posted on: February 1st, 2020
Na. Elinipa Lupembe
Miaka minne ya awamu ya tano, Serikali imeendelea kuweka mazingira rafiki kwa wadau wa maendeleo, ikiwa ni pamoja na kushirikiana nao kutekeleza miradi ya maendeleo katika...
Posted on: January 30th, 2020
Wajumbe wa Baraza la Madiwani halmashauri ya Arusha, wamepitisha rasimu ya mapango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwa makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha shilingi bilioni 55.4, wakati...
Posted on: January 29th, 2020
Na. Elinipa Lupembe.
Mkuu wa mkoa wa Arusha, mheshimiwa Mrisho Gambo, ameitaka Idara ya Maendeleo ya nchini Uingereza ' Department For International Development' (DFID) kujipa muda wa kufanya tafit...