Posted on: September 15th, 2019
*Yalojiri wakati wa ziara ya Katibu mkuu ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa, Mhandisi Joseph Nyamuhanga Arusha DC., Alipozungumza na wanafunzi na watumishi wa shule ya Sekondari Ilboru...
Posted on: September 13th, 2019
Na. Elinipa Lupembe.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Halmashauri ya Arusha, mwalimu Hosein Mghewa, ametangaza rasmi, majina ya Mipaka ya vijiji iliyoko katika eneo la halmashauri ya Aru...
Posted on: September 12th, 2019
Na. Elinipa Lupembe.
Wadau wa sekta ya mifugo, halmashauri ya Arusha wameitaka jamii, kuachana na dhana potofu ya kudhamini bidhaa za nje ya nchi ni bora kuliko zinazotengenezwa hapa nyumbani, bada...