Posted on: May 9th, 2018
Na. Elinipa Lupembe.
Mradi wa maji wa Ngaramtoni na moja ya miradi wa maji ya vijiji kumi umekamilika na unategemea kutumia teknolojia mpya ya 'eWaterpay' ya kulipia maji kabla ya kutumia.
Hayo ...
Posted on: May 8th, 2018
Wauguzi Halmashauri ya wilaya ya Arusha wanategemea kufanya maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani itakayofanyika tarehe 12.05.2018 kwenye viwanja vya Kituo cha Afya Nduruma.
Akizungumza na ...
Posted on: May 8th, 2018
Mkurugenzi Mtendaji, anawatangazia wananchi wote kuhudhuria kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani la kuwasilisha taarifa za Kata, mkutano utakaofanyika kesho tarehe 09.05.2018 kwenye Ukumbi wa Mikutano...