Posted on: December 15th, 2017
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Idd Kimanta ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Monduli amepokea msaada wa madawati 740 kwa shule 13 za Wilaya ya Arumeru zinazozunguka shamba hilo kwa lengo la kutatua changam...
Posted on: December 15th, 2017
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewataka wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii-CHF ili kuwa na uhakika wa kupata matibabu pindi wanapougua.
...
Posted on: December 13th, 2017
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Mashaka Gambo amewataka wakurugenzi wa halmashauri zote za mkoa wa Arusha kufanya maandalizi ya kutosha ya kuwapokea wanafuzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza...