Posted on: April 11th, 2017
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Pastori Mnyeti amewapa siku tatu wakazi wa kitongoji cha Ilkiurei kata ya Kiranyi waliojenga nyumba kwenye mkondo wa maji kubomoa wenyewe nyumba hizo kabla serikali haij...
Posted on: April 9th, 2017
Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta uliosababishwa na maji yaliyotokana na mvua iliyonyesha usiku wa kuamakia leo katika eneo la Mangurueni kitongoji cha Ilkiurei kata ya Kiranyi ha...
Posted on: April 5th, 2017
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Arusha Dkt. Wilson Mahera akipanda miti katika chanzo cha maji cha Saina kitongoji cha Nameloki kijiji cha Oligilai kata ya Kiutu wakati wa uzinduzi wa siku ya kupan...