Posted on: November 14th, 2022
Na Elinipa Lupembe.
Jumla ya Wanafunzi 4,999, wavulana 2,106 na wasichana 2,893 halmashauri ya Arusha wanategemea kufanya mtihani kwa Taifa wa kuhitimu Kidato cha 4 unaonza tarehe 14, Novemba 2022 ...
Posted on: November 13th, 2022
Na Elinipa Lupembe
Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, anawatakia kila la Kheri wanafunzi wote wanaofanya Mtihani wa Taifa wa kuhitimu kidato cha 4 unaoanza tarehe 14.11.2022...
Posted on: November 12th, 2022
Na Elinipa Lupembe
Maafisa Watendaji wa vijiji vitatu vya kata ya Laroi, wakisaini mkataba wa Lishe, tayari kwa kwenda kuutekeleza kwenye vijiji vyao.
Maafisa watendaji hao wamesainishwa  ...