Posted on: May 4th, 2018
Hatimaye uendelezwaji wa ujenzi wa jengo la ghorofa moja, lenye vyumba sita vya madarasa shule ya sekondari Ilkiding'a umeanza baada ya ujenzi huo kusimama kwa muda mrefu.
Ingawa ujenzi wa jengo hi...
Posted on: May 7th, 2018
Jumla ya wanafunzi 1,225 wa kidato cha sita, wanaanza mitihani yao taifa leo katika shule kumi za sekondari, halmashauri ya Arusha.
Afisa Elimu Sekondari halmashauri ya Arusha, mwalimu Sophia...
Posted on: May 5th, 2018
Katika kuhakikisha shule za sekondari zinakuwa na vyumba vya maabara za masomo ya sayansi na si maabara tuu bali maabara zenye vifaa, serikali kupitia programu ya Lipa kutokana na matokeo 'P4R' imetoa...