Posted on: May 25th, 2022
"MIMI NIKO TAYARI KUHESABIWA WEWE JE?Shiriki Kikamilifu, Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 kwa Maendeleo Endelevu ya Taifa letu" DED ARUSHA DC- Seleman Msumi
...
Posted on: May 25th, 2022
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha amepokea kibali cha kutekeleza Ikama na Bajeti kwa Ajira Mpya kwa mwaka wa fedha 2021/2022 chenye Kumb.Na. 97/228/01...
Posted on: May 24th, 2022
Na. Elinipa Lupembe.
Walimu halmashauri ya Arusha, wametakiwa kutumia fursa inayotolewa na serikali ya kupitianprogramu ya Mafunzo Endelevu kwa Walimu Kazini (MEWAKA), mafunzo yenye lengo la ...