Posted on: September 12th, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mashaka Mrisho Gambo ametembelea Kijiji cha Watoto SOS i kinacholea watoto Yatima kilichopo eneo la Ngaramtoni na kuzungumza na watoto na walezi wa watoto hao.
Aki...
Posted on: September 11th, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mashaka Gambo amewataka watumishi wa Halmashauri ya Arusha kufanya kazi kwa kushirikiana kama timu na zaidi kwa kuzingatia kanuni na taratibu za utumishi wa umma.
Mkuu w...
Posted on: September 4th, 2017
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2017 ndugu Amour Hamad Amour akiweka Jiwe la Msingi katika Tanki la Maji la Ekenywa lenye Mita za ujazo 60 ujenzi uliogharimu kiasi cha Tsh. Milioni 58.4 ta...