Posted on: April 22nd, 2022
Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango halmashauri ya Arusha, wametembelea na kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Kituo kipya cha Afya cha Matevesi, kata ya Mateves, fedha kutoka M...
Posted on: April 18th, 2022
Serikali kupitia fedha za tozo awamu ya pili, imetoa kiasi cha shilingi milioni 250, kwa ajili ya kuongezea nguvu za ukamilishaji wa upanuzi wa zahanati ya Mwandeti kuwa kito cha Afya, halmashauri ya ...
Posted on: April 16th, 2022
Mwenyekiti, halmashauri ya Arusha, Mheshimiwa Ojung'u Salekwa, anawatakia wananchi wote Kheri ya Sikukuu ya Pasaka 2022.
"Tusherehekee kwa Amani na Utulivu"
ARUSHA DC
KaziIendeleee✍✍
...