Posted on: August 17th, 2022
JE NI TAARIFA ZA AINA GANI ZITAKAZOKUSANYWA WAKATI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022
1. Taarifa zitakazoulizwa zitahusu;
2. Taarifa za kidemografia (umri, jinsi, hali ya ndoa).
...
Posted on: August 17th, 2022
Na Elinipa Lupembe.
Mwenyekiti wa kamati ya Sensa wilaya na Mkuu wa wilaya ya Arumeru, na Mhandisi Richard Ruyango, amewataka watendaji wa halmashauri ya Arusha, kushiriki kwa pamoja kuhak...
Posted on: August 16th, 2022
Na Elinipa Lupembe
Viongozi wa makundi ya kijamii tarafa ya Enaboishu, wakiwemo viongozi dini, mila, siasa na wamebainisha kuwa Zoezi la Sensa ya watu na makazi katika maeneo yao litafa...