Posted on: March 26th, 2018
Katika kuelekea siku ya upandaji miti kitaifa, halmashauri ya Arusha ya Arusha inaadhimisha siku hiyo ikiwa na mafanikio makubwa ya upandaji miti kwa kuvuka malengo kwa mwaka uliopita wa 2017.
Halm...
Posted on: March 26th, 2018
Shirika la eWater Tanzania limeanza kufanya majaribio ya mfumo wa kulipia maji kwa kutumia kadi ya kulipia kabla ya kutumia maji,kwa kutengeneza kituo cha kuchotea maji kinachotumia mfumo wa kielekron...
Posted on: March 20th, 2018
Matumaini ya kupata nishati ya umeme yawashukia wananchi wa Mbuyuni kata ya Oljoro baada ya kusubiri nishati hiyo tangu kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika zaidi ya miaka hamsini iliyopita. ...