Posted on: April 20th, 2018
Mitihani hii ya muhula wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2028, kwa shule za sekaondari mkoa wa Arusha inatarajia kuanza kufanyika, kuanzia tarehe 17-24/05/2018 kwa shule zote za mkoa huo.
Akizung...
Posted on: April 18th, 2018
Halmashauri ya Arusha kupitia Idara ya Mifugo imejipanga kuboresha uzalishaji wa ng'ombe bora wa maziwa kwa kutoa mafunzo kwa wafugaji ndani ya halmashauri.
Mikakati hiyo inafuatia teknolojia ya uh...
Posted on: April 16th, 2018
Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa Arusha, imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya halmashauri ya Arusha.
Kiongozi wa timu hiyo Kaimu...